Thursday, March 11, 2010

MALECELA AITETEA POMBE HARAMU YA GONGO


Mbunge wa Mtera (CCM) wa kwanza kutoka kushoto, Bw. John Malecela, ameitaka serikali isipige marufuku utengenezaji wa pombe haramu ya gongo na badala yake iongezewe ubora kwa kuwa imekuwa ikisaidia kuwaongezea kipato wananchi.

No comments:

Post a Comment