Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Tuesday, April 13, 2010
JENGO REFU DUNIANI
Unajua kwamba jengo refu kuliko yote duniani kwa sasa lipo Dubai? Jengo hilo lenye urefu wa mita 828 na ghorofa zipatazo 160. Jengo hilo linajulikana kwa jina la Burj Khalifa.
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
No comments:
Post a Comment