Unajua kuna kitu kimoja nilijifunza nikiwa jeshini, kuwa wanawake wana nguvu wakiamua, ila kitu kimoja `hawajiamini'....unakuta mume anayempiga ni `mdogo' tu kimaumbile,...lakini hajitetei...sisemi mpigane, lakini ikizidi jitetee....labda iwe vinginevyo! Wewe unakamatwa na dume kubakwa, kuna siri kubwa ya kumshinda mwanaume,piga ile kitu yake, kamata kwa nguvu...hana ujanga, ...msikubali kuonewa pale mnapoonewa!
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Unajua kuna kitu kimoja nilijifunza nikiwa jeshini, kuwa wanawake wana nguvu wakiamua, ila kitu kimoja `hawajiamini'....unakuta mume anayempiga ni `mdogo' tu kimaumbile,...lakini hajitetei...sisemi mpigane, lakini ikizidi jitetee....labda iwe vinginevyo!
ReplyDeleteWewe unakamatwa na dume kubakwa, kuna siri kubwa ya kumshinda mwanaume,piga ile kitu yake, kamata kwa nguvu...hana ujanga, ...msikubali kuonewa pale mnapoonewa!