Tuesday, August 30, 2011

TABIA HII HADI LINI?

Tabia ya kujichukulia sheria mkononi imekuwa ni tatizo kubwa nchini na ni kinyume na haki za binadamu. Hebu tazama picha hii wananchi wakijichukulia sheria mkononi kwa mtu anayedhaniwa kuwa ni mwizi, Je! mtu akiamua kumpakazia mtu kumwita mwizi kwa sababu zake binafsi na watu wakachukua hatua kama hii kwa mtu asiyekuwa na hatia? toa maoni yako jinsi gani tunaweza kukomesha hii tabia.

No comments:

Post a Comment