Tuesday, August 2, 2011

UNAKUMBUKA HII?

Unakumbuka hii? Enzi hizo muziki wa bongo umeshika kasi na kuheshimika mambo yalikuwa kama unavyoona pichani, bendi zetu maarufu ziliweza kumiliki mabasi makubwa kama haya, siku hizi bendi zetu badala ya kusonga mbele hatua tano zenyewe zinarudi nyuma hatua kumi.

No comments:

Post a Comment