Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
mie naona hii ya upande kwa kushoto zaidi
ReplyDeleteHakuna ubishi, kili juuuuuuuu
ReplyDeletesubirini nikazifanyie utafiti hizo zote kisha nilete majibu. naona mme wa munila na anonymous hapo juu ni wadau wa mlima na si chuichui
ReplyDeleteChui chui bwana, serengeti serengetiiii
ReplyDeleteHapana, chui chui ina kiharufu fulani sikipendi. mambo poa iko kilimani make the most of it.
ReplyDelete