Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Friday, April 9, 2010
USAFIRI NI USAFIRI
Hii ndio hali halisi ya usafiri katika maeneo mengi ya vijijini, wagonjwa wengi hupoteza maisha wakiwa njiani kuelekea hospitali, mama wajawazito hujifungulia njiani pasipo na msaada wowote. Nini kifanyike? najua wajua naomba tuelimishane.
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
No comments:
Post a Comment