Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Thursday, April 8, 2010
Hali ya usafiri na vyombo vya usafiri kwa ujumla ni mbaya katika maeneo mengi nchini hasa vijijini. Kwa hali hii tutafika? ikitokea ajali itakuwaje? najua wajua ila twakumbushana.
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
No comments:
Post a Comment