Wednesday, August 25, 2010
HAPA NDIO KWA MWALIMU NYERERE
Hapa ndipo nyumbani kwa baba wa Taifa Hayati Mwalimu JK Nyerere, nyumba ya mwalimu ipo Butiama mkoa wa Mara na ndipo alipozikiwa. Mwalimu Nyerere alikuwa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na alikuwa kiongozi wa mfano Afrika na Duniani kwa kuwa kiongozi muadilifu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kweli sasa panavutia hivi alipokuwa hai palikuwa kama hivyo? na hapa Msasani vipi, nyumba ya kumbukumbu yake ipo?
ReplyDeleteNyumba hii ilikuwa hivi hivi toka alipokuwa hai, kwani alijengewa na serikali baada ya kustaafu urais wa Tanzania.
ReplyDeleteIle nyumba ya msasani bado ipo na mama Maria Nyerere akija Dar ndio hufika hapo.