Sunday, August 29, 2010

POCHI YA ESTHER IBRAHIMU SHEDAFA YAOKOTWA

Pochi yenye nyaraka muhimu kama kadi ya Benki, kadi ya Hospitali na nyinginezo imeokotwa usiku wa tarehe 29 Agost 2010 na kondakta wa daladala iendayo Sinza/Kariakoo. Mtu yoyote mwenye kumfahamu mtu mwenye nyaraka hizo aitwaye ESTHER IBRAHIM SHEDAFA awasiliane na nasi kupitia e mail najuawajua@yahoo.com ili muhusika apate nyaraka zake muhimu.

No comments:

Post a Comment