Kweli kabisa, ujumbe huu ni mzuri sana, kwani watu wengine wanamuona mungu kipindi cha Ramadani tu, na nionavyo mimi kipindi hicho wanajiona kama wafungwa, na ramadhani ikiisha ni fungulia mbwa...samahani kwa usemi huo, ila inasiskitisha sana!
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Kweli kabisa, ujumbe huu ni mzuri sana, kwani watu wengine wanamuona mungu kipindi cha Ramadani tu, na nionavyo mimi kipindi hicho wanajiona kama wafungwa, na ramadhani ikiisha ni fungulia mbwa...samahani kwa usemi huo, ila inasiskitisha sana!
ReplyDeleteMkubwa hili ni tatizo hata sijui tutumie elimu ipi ili baada ya mwezi huo watu wawe wamadadilika kitabia.
ReplyDelete