Monday, October 11, 2010

HUU UBUNIFU AU ADHABU?

Huyu mwenzetu nae! sasa huu ubunifu ama adhabu? jamaa ameamua kusikiliza redio kwa kutumia betri ya gari, hii sawa ni ubunifu kwani betri ya gari udumu na chaji zaidi ya betri za kawaida, lakini sasa ndio betri ubebe kichwani?

3 comments: