Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Monday, March 7, 2011
HAPA NDIO MAMBO YOTE
Hapa ndio mambo yote, kuna wengine wanasikia tu kuwa tuna mgao wa umeme kwa kuwa kina cha maji kimepungua katika bwawa linalotumika kufufua umeme la Mtera, hapa ndio Mtera penyewe.
Hivi nilulize kwani kukiwekwa mamabomba ya maji yakawa yanaleta maji kutoka sehemu nyingine, haiwezekani. Nuwa wapo waingie ubia na Tanesco waweke bomba kubwa linalojaza maji humo bwawani! AU?
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Hivi nilulize kwani kukiwekwa mamabomba ya maji yakawa yanaleta maji kutoka sehemu nyingine, haiwezekani. Nuwa wapo waingie ubia na Tanesco waweke bomba kubwa linalojaza maji humo bwawani! AU?
ReplyDeleteHivi mambomba ya maji hapo hayafiki, kina kikipungua mabomba yanafunguliwa maji yanajaa au mpaka maji ya chemchemu?
ReplyDelete