Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Friday, February 11, 2011
RATIBA YA OFISI HII VIPI
RATIBA YA OFISI HII VIPI: Jaribu kuangalia kwa umakini ratiba hii ya ofisi, alafu toa maoni yako kama unaona kweli ratiba hii inafaa ama kutofaa kufatwa katika maofisi yetu.
Hao wafanyakazi wa hapo utawakuta wanalalamika kuwa mishahara haitoshi. Ukweli ni kuwa pesa wanayopewa inatakiwa ipunguzwe sana hadi hapo watakapoanza kweli kufanya kazi, na masaa wanayofanya kazi itabidi yahesabiwe na mshahara uendane na masaa hayo.
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Hao wafanyakazi wa hapo utawakuta wanalalamika kuwa mishahara haitoshi. Ukweli ni kuwa pesa wanayopewa inatakiwa ipunguzwe sana hadi hapo watakapoanza kweli kufanya kazi, na masaa wanayofanya kazi itabidi yahesabiwe na mshahara uendane na masaa hayo.
ReplyDeleteHii si ratiba bali kioja kwani inaelekea hata aliyeandaa hajui anapanga nini. Pengine lugha kwake ni ngeni mno.
ReplyDelete