Tuesday, May 3, 2011

HUKO WHITE HOUSE MAMBO YALIKUWA HIVI

Wakati kikosi maaluma cha jeshi la Marekani cha Navy SEAL ambacho kina sifa ya kipekee duniani kutoka na kuwa na mafunzo ya aina yake ya kupambana baharini, nchi kavu na angani kikiwa kinapambana na wafuasi wa Osama Bin Laden kwa muda wa dakika 45 hali ilikuwa hivi katika Ikulu ya Marekani katika chumba maalum cha kutolea amri za mapigano wakifatilia kila kilichokuwa kinaendelea katika mapigano hayo ambayo yalisanabisha helkopta moja ya Marekani kulipuka angani. Pichani Rais mwa Marekani Barak Obama akiwa na maofisa wengine wa serikali na baraza la usalama wa taifa la nchi hiyo wakifatilia kwa makinini kinachendelea katika uwanja wa mapambano huko Pakistani.

No comments:

Post a Comment