Tuesday, May 17, 2011

MWALIMU ABUNI ADHABU MBADALA

Mwalimu mmoja wa shule ya msingi huko Nepal amebuni adhabu mbadala kwa watoto watukutu, badala ya kuwacha ama kuwapa adhabu nyingine stahili, yeye alibuni adhabu ya aina yake kama unavyoona pichani wanafunzi wanalala alafu yeye anatekeleza adhabu yake kwa kuwakanyaga vidole vya mkononi kwa kutumia pikipiki. Vipi watu wa haki za watoto duniani wanatuambia nini kuhusiana na adhabu kama hii kwa watoto wadogo kama hawa?

2 comments: