Wednesday, April 20, 2011

KIKOMBE CHA BABU

Kikombe cha babu mchungaji mstaafu Ambilikile Mwasapila anayetoa tiba ya magonjwa sugu katika kijiji cha Sumange huko Loliondo mkoani Arusha sasa kimeshika kasi baada ya watu toka nje ya nchi na watanzania wenye asili ya kiasia nao kuona umuhimu wake na kujikusanya kwenda kujisalimisha kwa babu. Je kweli kikombe cha babu kinatibu? kama kuna mtu aliyetayari kutoa ushuhuda wake baada ya kupata tiba ya kikombe cha babu na kupona ama kutopona  awasiliane na blog hii.

No comments:

Post a Comment