Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Tuesday, March 23, 2010
ADHABU KWA WEZI
Unajua kama hii ndio adhabu waliyopewa wezi baada ya kubambwa live wakiiba hilo tank? kali hii imetokea mitaa ya Kigamboni jijini Dar es salaam, jiji lenye vituko kila kukicha.
Adhabu zingine du! Lakini ni afadhali kuliko kuwamwagia petroli na kisha kuwapiga kiberiti. Kama ni kujifunza watakuwa wamejifunza na hawatarudia tena!
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Adhabu zingine du! Lakini ni afadhali kuliko kuwamwagia petroli na kisha kuwapiga kiberiti. Kama ni kujifunza watakuwa wamejifunza na hawatarudia tena!
ReplyDeleteKaka hizo ndio busara za watu wa kigamboni!
ReplyDelete