Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Monday, March 22, 2010
JIJI LA MWANZA
Hili ndio jiji la Mwanza, moja ya majiji yanayokua kwa kasi katika nchi za ukanda wa maziwa makuu. Unajua kama hayo mawe ndio yamefanya jiji la Mwanza liitwe"The Rock City"
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
No comments:
Post a Comment