Simu ni chombo cha umeme. Mamtumizi ya simu ni kwa ajili ya watu wawili waliokatika sehemu mbili tofauti na wanaweza kuongea. Kwa maana hiyo ni chombo cha mawasiliano. Awali simu ilihitajika iuanganishwe na nyaya. Lakini leo hii simu inaweza kutumwa kwa kutumia redio. Hii nayo inaitwa nyayatupu, siwaya au simu bila waya.
Watu wengi wanaamini kuwa simu iligunduliwa mnamo 1876 na Alexander Graham Bell. Alikuwa mtu mwenye umri wa miaka 29 aliyeishi nchini Marekani akiwa kama Muuskoti. Lakini Antonio Meucci alianzisha na kuanza matumizi ya simu toka mwaka wa 1871 huko Marekani. Najua wajua ila nakukumbusha tu kuwa hii ndio simu, na ufahamu ilipotokea na mpaka leo unatembea nayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hodi hapa kibarazani! naona ni usiku sasa ok ntarudi siku nyingine!!
ReplyDeleteKARIBU SANA HAPA NI KWAKO PIA, JISIKIE UPO HURU KUTUELIMISHA AMA KUTUKUMBUSHA CHOCHOTE KUPIA BLOG HII
ReplyDelete