Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Tuesday, June 8, 2010
UNAJUA KWAMBA TANZANIA IMEVUNJA REKODI YA BRAZIL
Unajua kwamba timu ya soka ya Tanzania imevunja rakodi ya Brazil ya kutoruhusu nyavu zake kuguswa toka Oktoba 2009 katika michezo ya kimashindano na kifariki.
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
No comments:
Post a Comment