Sunday, June 20, 2010

UMESIKIA HAYA YA WACHINA

Wakazi wa China wanaoishi katika nyumba za Serikali Jimbo la Kusini mwa nchi hiyo. Watafukuzwa katika makazi hayo iwapo watabainika kuwa na tabia ya kutema mate hadharani, taarifa hizi ni kwa mujibu wa mtandao wa www.laho.gov.ch. Pia imejumuisha makosa mengine 20 ikiwepo utupaji wa taka ovyo na upigaji kelele kupita kiasi. Kutema mate hadharani ni kitu kilichozoeleka nchini China licha ya kampeni za mara kwa mara za kuondoa tatizo hilo hatari kwa afya.

No comments:

Post a Comment