Kizazi kipya kinaandaliwa, na maisha ya tembo yanaendelea huku akifanyishwa kazi ambazo kamwe "hakupangiwa". Binadamu naye kama kiumbe aliye kileleni mwa msimbo wa maumbile - yupo kuridhisha tamaa yake ya kusaka burudani isiyoisha (Tazama: http://matondo.blogspot.com/2009/12/upumbavu-wa-binadamu-huu-hapa-usitazame.html). Picha hii inafikirisha, kuchekesha, kudhihaki na hata kuhuzunisha!!!
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
kaazi kwelikweli!!!
ReplyDeleteKizazi kipya kinaandaliwa, na maisha ya tembo yanaendelea huku akifanyishwa kazi ambazo kamwe "hakupangiwa". Binadamu naye kama kiumbe aliye kileleni mwa msimbo wa maumbile - yupo kuridhisha tamaa yake ya kusaka burudani isiyoisha (Tazama: http://matondo.blogspot.com/2009/12/upumbavu-wa-binadamu-huu-hapa-usitazame.html). Picha hii inafikirisha, kuchekesha, kudhihaki na hata kuhuzunisha!!!
ReplyDelete