Umesikia maajabu ya panya hawa?
Panya hao waliogunduliwa/fundishwa chini Tanzania katika chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine mkoani Morogoro wana uwezo wa ajabu.
Panya hao wana uwezo wa kugundua mabomu yaliyotegwa aridhini, pia panya hao wana uwezo wa kugundua vimelea vya ugonjwa wa kifua kikuu kupitia koozi la mgonjwa.
kama ni kweli basi ni utafiti mzuri!!
ReplyDeleteHabari hii ni kweli!
ReplyDelete