Je wajua kwamba siku ya kumsaka mlimbwende wa Tanzania yaani MISS VODACOM TANZANIA 2010 katika ukumbi mpya na wakisasa wa Mlimani City Hall, mlimbwende mmoja aliteleza na kuanguka mpaka chini. Angalia picha ya mlimbwende aliyepatwa na mkasa huo akiwa chini na wenzake wakishikwa na mshangao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hizo ni ajali za kawaida hutokea, nakumbuka kuna miss mmoja kwenye hayo mashindano ya kimataifa, yalimtokea zaidi ya hayo, wakipita na vichupi ....
ReplyDeleteSio ajabu viatu utadhana msumari...halafu wenzake wanamcheka hapo. kaazi kwelikweli kisa sababu ya kupigania uzuri...
ReplyDeleteNimesikia watu wengine wakisema misumari ya babu hiyo!
ReplyDeleteIla ni mambo ya kawaida naona ni bora wangekuwa wanapata muda wa kutosha kufanya mazoezi katika ukumbi halisi wanaofanyia mashindano yao wakiwa na baadhi ya vifaa wanavyotegemea kutumia siku ya fainali km viatu n.k