Polisi wa Tanzania wakiwa katika vifaa vipya na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana aina yoyote ya uharifu hasa kipindi hiki tunapoelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Ni sawa wao wamevaa kinga, je raia wasio na hatia watavaa nini?
ReplyDeleteLakini polisi wetu wakikosa vifaa bora utendaji utapungua na tutawaona wazembe.
ReplyDelete