Habari za kisayasi zinasema mdudu mbu ambaye ni hatari kwa kueneza magonjwa ikiwemo maralia na matende amegundulika kuwa ana idadi ya meno mengi zaidi ya binadamu mtu mzima. Kitaalam tunaambiwa binadamu mtu mzima anakuwa na meno yapatayo thelathini na mbili. Lakini wanasayasi wanasema mbu ana idadi kubwa ya meno kuliko binadamu, kwani mbu amegundulika kuwa ana meno Arobaini na saba na yote yanatumika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni kadudu kadogo lakini kanatisha!
ReplyDeleteNa ndio kanaongoza kutoa uhai wa ndugu na jamaa zetu.
ReplyDeleteKwanini wasitutafutie kinga (prevention) na ukatokomea kama ilivyokuwa ndui na magonjwa mengine, au biashara yao ya dawa itakosa soko!!
ReplyDeleteHIV kwa sababu na wao inawapata, haraka sana japo wamehangaika lakini kuna matumaini. Tunaomba watusaidie kupata kinga, TOOOBA!