Friday, October 29, 2010
KULIKONI VIFO VYA KUNGURU VIMEZIDI JIJINI DAR
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vifo vya ndege aina ya kunguru katika jiji la Dar es salaam hasa maeneo ya Wilaya ya Kinondoni. Je nini hasa kinasababisha vifo vya ndege hawa? wahusika watuambie kuna maradhi yameingia hapa nchini! au wamewekewa sumu?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
duh, halafu kweli yaani nilikuwa najiuliza bila kupata jibu, nikasema labda watu wana shabaha siku hizi...isije kuwa ugonjwa
ReplyDeletewasi wasi wangu usije ukawa ugonjwa umeingia!
ReplyDelete