Mhh! hiyo ndio siri ya sifuri, ukiweka namba mbele inapungua uzito na ukiweka nyuma ianongezeka thamani. Mlishe anenepe, upate kitoweo safi,...na hata kama yupo mzizini ambapo anajua kesho kwa yule kesho kwake, bado atarejea kwa bwana wake akilia meee, meee! Hiki ni kitendawili, cha mtoza ushuru, awapitia wenzake na kuwadai, lakini mwisho wa siku gharama yake inamwangukia hata yeye! Mwenye macho haambiwi tazama, ni hayo kwa mtizamo wa mbuzi juu ya bega la mpanda baiskeli!
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Mhh! hiyo ndio siri ya sifuri, ukiweka namba mbele inapungua uzito na ukiweka nyuma ianongezeka thamani.
ReplyDeleteMlishe anenepe, upate kitoweo safi,...na hata kama yupo mzizini ambapo anajua kesho kwa yule kesho kwake, bado atarejea kwa bwana wake akilia meee, meee!
Hiki ni kitendawili, cha mtoza ushuru, awapitia wenzake na kuwadai, lakini mwisho wa siku gharama yake inamwangukia hata yeye!
Mwenye macho haambiwi tazama, ni hayo kwa mtizamo wa mbuzi juu ya bega la mpanda baiskeli!