Yaani TANZANIA tuna mito, mingi, tuna mabwawa mengi ambayo yanaweza kuwa vyanzo vya umeme, lakini twategemea hapo tu...na nyumba ya mungu au sio...kwanini, natafakari?
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Yaani TANZANIA tuna mito, mingi, tuna mabwawa mengi ambayo yanaweza kuwa vyanzo vya umeme, lakini twategemea hapo tu...na nyumba ya mungu au sio...kwanini, natafakari?
ReplyDelete