Thursday, December 9, 2010

UHURU WETU WATIMIZA MIAKA 49 LEO

Uhuru wa Bongo watimiza miaka 49 leo kwa maadhimisho makubwa yaliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam. Ni wajibu wetu kuulinda na kutetea kwa nguvu zote. Amani, Umoja, Utulivu na Upendo kati yetu ndio silaha pekee ya kudumisha Uhuru wetu.

No comments:

Post a Comment