Tuesday, December 21, 2010

WALE MAHARUSI WETU WALIFIKA SALAMA

Wale maharusi wetu waliotumia usafiri wa piki piki (bodaboda) walipotoka kufunga pingu za maisha walifika salama safari yao na sherehe ya kuwapongeza wawili hapo iliendelea kama kawaida.

4 comments:

  1. Mungu aibariki ndoa yao, kwani nahisi haijatumia gharama nyingi za kufuru,.........!

    ReplyDelete
  2. Na sasa wanaonekana kuchoka kweli hasa bwana harusi.

    ReplyDelete