Nilipoiona tu nilidhani ni Nertherlands, lakini baadaye nimeconcentrate na kukumbuka ni Arusha town. Uwanja wa Shekh Amri Abedi, Mnara wa Azimio la Arusha, Makaburi karibu na stend ya mabasi na bacground yake inaonyesha open ground ya Arusha school. Mnyalu
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Nilipoiona tu nilidhani ni Nertherlands, lakini baadaye nimeconcentrate na kukumbuka ni Arusha town. Uwanja wa Shekh Amri Abedi, Mnara wa Azimio la Arusha, Makaburi karibu na stend ya mabasi na bacground yake inaonyesha open ground ya Arusha school.
ReplyDeleteMnyalu
Ambao hatutembei tembei tutabahatisha tu...siju ni mwanza!
ReplyDeleteArusha hii...Mkuu.
ReplyDelete