Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Saturday, April 2, 2011
SOKA INA WENYEWE
Kweli soka ina wenyewe, hebu angalia picha hii hapa alafu pata picha ndo wazee wetu wa kibongo ndio wawe wanasakata soka, hali inakuwa aje hapo uwanjani?
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Haya bwana! hapo ni bombi kweli na halafu angalia walivyo hawaonekani kama ni kweli wazee yaani wanaonekana bado wanaonekana wana nguvu kutosha :-)
ReplyDeleteItakuwa shega tu, tena itapendeza kiukweli.
ReplyDeleteIla wazee wa huku wanaweza wakashindana kwa ndumba tu uwanjani badala ya soka ya maana.
ReplyDeleteKaka mimi,wewe na wengine tujaribu kuwahamasisha wazee wetu!!!!wenye misuri,jezi,migolole,suruali,wote rukhsa kuingia uwanjani,ili tusakate kabumbu!!.
ReplyDelete