Mambo mengi unajua ila ni vizuri tukikumbushana na kuelimishana
Thursday, April 14, 2011
PEMPAS ZA KWETU
Na watoto wetu uswazi nao wanavaa pempas pia, sio wenu pekee.Hebu angalia ubunifu wa wabongo, kila kitu kinawezekana "wao waweze wana nini sisi tushindwe tuna nini".
Madhumuni ya Blog hii, ni wadau kwa pamoja kutumia Teknolojia hii ya mawasiliano kwa kukumbushana,kufurahishana na kuelimishana . Tukiwa pamoja katika kuchangia hakika tutafuta ujinga. Ila tusisahau kukumbushana, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
Nitumie picha, maoni na hata unalotaka kutukumbusha na kutuelimisha, NAJUA WAJUA ILA NAKUKUMBUSHA.
WASILIANA NASI KWA:
Simu 022 2461457/ 0784 251001/ 0773 251001
E.Mail - najuawajua@yahoo.com
Duh...ubunifu mwingine hatari.
ReplyDeleteHakika hapa wameniacha hai! ni ubunifu mzuri. Ila cha msingi sasa waangalie mtoto asikae na hiyo pampes muda mrefu asije akachubuka makalio...
ReplyDeleteMmmhh hii ya mwaka,kwani chupi za mkojo sikuhizi hakuna?
ReplyDelete